Top 15 Enock Maregesi Quotes



Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.

 

Ukitaka kujua maana halisi ya maisha yako kuwa tayari kufanya vitu vikubwa vitakavyohitaji nguvu ya Mungu kuvikamilisha – na kudumu katika maisha hayo kwa kafara ya maombi.

 

Wanasayansi wanasema hakuna Mungu kwa sababu hawawezi kumwona wala kumgusa. Lakini nao hawana akili kwa sababu hawawezi kuiona wala kuigusa.

 

Heshima hujengwa kwa hekima, haijengwi kwa misuli.

 

Secure tomorrow today by sowing good seeds today and by watering them with faith and love to others.

 

Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.

 

Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.

 

If a leader for the right reasons is blessed by God, even the people he leads will be blessed by God as well. But if the leader is cursed by God because of iniquity, even the people he leads will be cursed as well.

 

Words are the bricks of our world and they have the power to change it.

 

I wanted to do something new. The world is becoming a global village and we have to understand these different cultures. There is a Danish culture, an Israeli culture and so on. So if you want to go to Denmark, then read the book.

 

People think that other international languages are smarter and more business wise. But they have to understand that we have to preserve our culture.

 

Dictatorial government is more dangerous than lions!

 

No matter how talented or skilled you are, you will never reach your full potential without expert guidance.

 

If you are smart be simple. If you are powerful be generous. If you are rich be humble. If you want to be smart be simple. If you want to be powerful be generous. If you want to be rich be humble.

 

Sex to me is not luxury any more. It is necessity of reproduction.

 

 

Quotes by Authors

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *